• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • SOKA: Humud ajibu tuhuma, aanika kila kitu

    (GMT+08:00) 2018-11-09 08:44:00
    Baada ya klabu ya KMC ya Kinondoni ya jijini Dar es salaam kutoa taarifa za kuvunja mkataba na kiungo wa zamani wa timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars) Abdulahim Humud, jana mchezaji huyo ametoa tamko na ukweli wake kuhusiana na tuhuma hizo kama aliyohojiwa na Millary Ayo TV.
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako