Uamuzi wa CAF umetolewa siku 6 kabla ya mtanange huo, unatokana na wapinzani wa Kenya, Sierra Leone kukosa sifa ya kucheza mchezo huo kwasababu bado wanatumikia kifungo cha shirikisho la soka duniani (FIFA) na shirikisho la soka Afrika (CAF), uamuzi wa mwisho kuhusu mustakabali wa kundi F utatolewa hivi karibuni.
Kenya inaongoza kundi hilo kwa kuwa na pointi 7, pointi 4 mbele ya Ghana ainyoshika nafasi ya pili, na Ethiopia inayoshika nafasi ya tatu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |