michuano hiyo ilizinduliwa mwaka 2017 nchini Tanzania huku mshindi wa michuano hiyo timu ya Gor Mahia ya Kenya alikutana na timu ya Everton ya Uingereza jijini Dar es salaam kabla ya timu hizo kukutana tena mwaka huu jijini London Uingereza.
Michuano ya SportPesa ya mwakani itashirikisha timu za Simba, Yanga, Singida United na Mbao kutoka Tanzania, huku Kenya itawakilishwa na timu za Gor Mahia, AFC Leopards, Kariobangi Sharks na Bandari fc.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |