Wambura ameeleza hayo kutokana na mazoea ya klabu kuchelewa kufanya usajili wa wachezaji wakiamini kutakuwa na siku za nyongeza hapo baadaye.
Dirisha hilo limefunguliwa jana na litafungwa Disemba 15 wakati huo mechi za ligi zitakuwa zikiendelea kama kawaida.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |