Burundi inaitoa Tanzania kwa faida ya goli la ugenini kuhesabika mara mbili baada ya ushindi wa goli 2-0 kwenye mchezo wa kwanza wiki iliyopita mjini Bujumbura.
Matokeo hayo yanakuja siku mbili tu baada ya timu ya wakubwa ya taifa stars kukubali kipigo cha 1-0 dhidi ya Lesotho.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |