Hivi karibuni chama cha kamati ya Olimpiki Afrika (ANOCA) kilitangaza kutenga fedha hizo kwa ajili ya maandalizi ya timu za riadha, judo, kunyanyua vitu vizito, ngumi, tenisi na kuogelea.
Katibu mkuu wa TOC. Filbert Bayi amesema ANOCA inataka mchezaji ambaye ataandaliwa kwa kutumia fedha hizo awe ni namba tatu kwa ubora Afrika na namba 10 duniani.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |