Amesema mashindano hayo yamemaliza lakini hayakuwa mazuri kwa Zanzibar licha ya mashindano kuwa ni ya ushindani ila vilabu vya Zanzibar havikufanya vizuri kwenye mashindano hayo kutokana na kukosa mashindano ya Kimataifa na uwezo wa kucheza mchezo huo kwenye kiwango cha kimataifa.
Mashindano ya mpira klabu bingwa Afrika mashariki ya mpira wa mikono yamemalizika Zanzibar huku Polisi ya DRC wamefanikiwa kuwa mabingwa wa mashindano haya baada ya kuifunga Black Mamba kutoka Kenya magoli 23 kwa 17 na kupatiwa medali ya Dhahabu na Kombe .
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |