Roach ni kocha wa zamani wa bondia Manny Pacquiao na amekuwa karibu na Fury ambaye tayari yupo Los Angeles akijifua kwa ajili ya pambano hilo.
Pambano hilo la raundi 12 litapigwa Desemba 1, 2018 kwenye Ukumbi wa Staples Center, Los Angeles, California, Marekani ambapo Wilder anatetea mkanda wake wa WBC.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |