Mchezaji huyo ameondoka uwanjani akilia baada ya kuzomewa kwa muda wote wa pambano kati ya timu ya taifa ya Senegal dhidi ya timu ya taifa ya Guniea ya Ikweta.
Senegal ilishinda bao 1-0 lakini muda mwingi wa mchezo Mane alikuwa akizomewa na mashabiki baada ya kukosa nafasi moja ya wazi katika lango la wapinzani.
Sebegal imefuzu AFCON na sasa inaongoza katika kundi lake.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |