Yanga sasa imefikisha pointi 29 baada ya kucheza mechi 11 ikiwazidi pointi tatu mabingwa watetezi ambao ni watani wao wa jadi Simba SC.
Azam FC wao bado wameshikilia uskani wa ligi hiyo kwa kuwa na pointi 33 ikiwa imekwishakucheza michezo 12 baada ya jana kuichapa Ruvu Shooting kwa mabao 2-1 mchezo uliochezwa uwanja wao wa nyumbani wa Chamazi Complex.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |