Benki ya Uganda (BoU) inashauri mabenki ya biashara kuwa waangalifu kwa sababu ya ukuaji wa mikopo.
Idadi ya mikopo kwenye soko iliongezeka kwa asilimia 8.6 mnamo Septemba 2018 ikilinganishwa na asilimia 1.5 mwaka 2017.
Hii ni pamoja na wastani wa mikopo ya asilimia 19.1.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |