Rais Xi Jinping wa China amewasili mjini Buenos Aires kwa ziara nchini Argentina, na anatarajiwa kuhudhuria Mkutano wa kilele wa 13 wa kundi la nchi 20. Argentina ni kituo cha pili kwa ziara ya rais Xi katika Ulaya na Latin Amerika.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |