Ligi Kuu Uingereza (EPL): Chelsea yaonyesha makucha, Arsenal yaifumua Spurs
(GMT+08:00) 2018-12-03 09:03:17
Ligi kuu ya Uingereza imeendelea mwishoni mwa wikiendi kwa michezo miwili kupigwa, Chelsea wanaojulikana kama the Blues wameonyesha makucha kwa kuibamiza Fulham magoli 2-0 mchezo uliochezwa uwanja wa Stamford Bridge mjini London.
Mchezo mwingine ulikuwa kati ya Arsenal na Tottenham Hotspurs, Arsenal imeifumua Tottenham kwa goli 4-2.