Nayo Mtibwa Sugar ya Tanzania imeondoka jana nchini Tanzania kuifuata Northern Dynamo ya Shelisheli katika harakati za kuwania kufuzu hatua ya awali ya mashindano ya kombe la shirikisho barani Afrika, mchezo wa awali wakata miwa wa Mtibwa waliitungua Shelisheli kwa jumla ya mabao 4-0.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |