Hali ilipelekea Wambura kukataa rufaa mahakamani ambapo mahakama kuu ilitengua uamuzi huo.
Wambura alifika katika ofisi za TFF kwa lengo la kurudi ofisini kama ilivyoamuliwa na mahakama kuu ya Tanzania Novemba 30 mwaka huu, na hivi ndivyo alivyokutana na waandishi wa habari jana katika ofisi za shirikisho hilo
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |