Septemba mwaka huu, Kipchoge aliandika rekodi mpya ya mbio za Berlin kwa kukimbia kilomita 42 kwa muda wa saa 2 dakika 1 na sekunde 39.
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ameongoza mamia ya wakenya kutuma salamu za pongezi kwa mwanariadha huyo kwa kuipeperusha vyema bendera ya Kenya.
Kwa ujumla, Kipchonge ameshinda mashindano 10 ya riadha kati ya 11 aliyoshiriki toka alipong'oa nanga kwa mara ya kwanza mwaka 2013.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |