Kiwanja hicho kimejengwa kwa ushirikiano baina ya serikali ya Tanzania na serikali ya Japan.
Bwana Majaliwa amewataka vijana kujikita kujifunza mchezo huo na si kuangalia soka peke yake, naye balozi wa Japan nchini Tanzania Shinichi Goto amesema Japan itaendelea kushirikiana na Tanzania katika sekta mbalimbali ikiwemo ya michezo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |