Wanariadha 27,000 toka nchi mbalimbali duniani wameshiriki mashindano ya 46 ya riadha ya Honolulu zilizofanyika nchini Marekani jana. Mwanariadha toka Kenya Titus Ekiru amechomoka na ushindi kwa kutumia 02:09:01 kwa upande wa wanaume.
Kwa upande wa wanawake mkenya mwingine Vivian Jerono Kiplagat ndio mshindi ametumia 02:36:22 huku Sheila Jerotich amekamata nafasi ya pili kwa kutumia 02:42:09
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |