• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Wageni 10 wapewa tuzo ya urafiki ya mageuzi ya China

    (GMT+08:00) 2018-12-18 12:28:59

    Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China na baraza la serikali la China leo zimetoa tuzo ya urafiki ya mageuzi ya China kwa wageni 10, ili kuwashukuru kwa mchango wao wa kuhimiza mawasiliano na ushirikiano kati ya China na nchi za nje, na kushiriki na kuunga mkono mchakato wa mageuzi na kufungua mlango nchini China.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako