• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • China yapaswa kuendelea kuboresha sifa ya mfumo wa China

    (GMT+08:00) 2018-12-18 13:11:11

    Rais Xi Jinping wa China amesema, China inapaswa kuendelea kuboresha mfumo wa ujamaa wenye umaalum wa China, na kuendelea kukuza na kuongeza ubora wa mfumo huo. Amesema, China inatakiwa isibadilishe kamwe kuimarisha na kuendeleza uchumi unaomilikiwa na dola, kuunga mkono na kuhimiza maendeleo ya uchumi binafsi. Pia inapaswa kujitahidi kuondoa vizuizi vyovyote vya mfumo wa maendeleo na usawa katika jamii, kuharakisha kujenga mfumo kamili wenye kanuni za kisayansi na ufanisi mkubwa, na kuimarisha mfumo wa ujamaa wenye umaalum wa China.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako