Ili kutetea ubingwa walioutwaa mwaka jana kwenye mashindano kama hayo kocha huyo amesema yafaa wachezaji waongeze bidii akisisitiza kuwa ushindani umeongezeka kutokana na kukua kwa mchezo huo duniani.
Timu ya taifa ya Rwanda inaundwa na wachezaji sita wakiongozwa na Joseph Areruya ambaye aliibuka mshindi wa kwanza katika mashindano ya mwaka jana.
Mashindano ya Gabon kwa mwaka huu yanaanza Januari 21 na kumalizika januari 27.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |