Malindi SC inaungana na Azam FC ambayo imeichakaza KVZ magoli 2-1 na kutinga nusu fainali ya michuano hiyo ya 13 ya Mapinduzi.
Kutoka kundi A, Simba SC ya Dar es Salaam ilijikatia tiketi ya nusu fainali juzi baada ya kuifunga KMKM kwa goli 1-0.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |