Ushindi wa goli 3-0 waliopata Yanga haujawasaidia kuingia nusu fainali ya kombe la Mapinduzi baada ya kuzidiwa pointi na Azam FC, Malindi na Jamhuri.
Azam FC itamenyana na KMKM katika nusu fainali ya kwanza majira ya saa 10 jioni saa za Afrika Mashariki huku Simba SC itavaana na Malindi SC katika mechi ya pili ya nusu fainali ya kombe la Mapinduzi uwanja wa Amani mjini Zanzibar itakayopigwa saa 2 usiku.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |