Benevento yenyewe imesafiri kuelekea Milan watakutana na Inter Milan, nayo Bologna itavaana na bibi kizee wa Juventus mechi ambayo itakuwa ya kuvutia zaidi huku macho ya mashabiki yakielekezwa kwa Christiano Ronaldo atakayeongoza kikosi cha Juventus.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |