Rais Xi Jinping wa China na mwenzake Sauli Niinisto wa Finland aliyeko ziarani hapa China wamekubaliana kufanya kazi kwa pamoja ili kuandika ukurasa mpya wa uhusiano wa pande hizo.
Marais hao wamefikia makubaliano hayo wakati wa mazungumzo yao leo hapa Beijing.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |