• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • TAEKWONDO: TTF kuendesha mafunzo ya mchezo wa Taekwondo jijini Arusha.

    (GMT+08:00) 2019-01-15 08:35:03
    Shirikisho la mchezo wa Taekwondo nchini Tanzania (TTF) kushirikiana na wakufunzi wa ndani na nje ya Tanzania wanatarajia kutoa semina ya wazi ya wiki moja juu ya sheia mpya za upangaji wa alama za uwanjani zilizotolewa hivi karibuni na shirikisho la mchezo huo la kimataifa (ITF) na shirikisho hilo duniani (WTF).

    Sheria hizo zilitolewa hivi karibuni zilisambazwa na shirikisho la Taekwondo duniani (WTF) kwa semina ya mwezi mzima kwa wakufunzi wa kimataifa kutoka nchi zaidi ya 50 duniani zinazoshiriki mchezo huo.

    Akizungumzia mafunzo hayo mratibu David Samson amesema mafunzo hayo yatafanyika jijini Arusha kuanzia Januari 20 hadi 27 na wakufunzi ni wenyeji Tanzania, wakisaidiana na wakufunzi kutoka Ethiopia na Korea.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako