Cardiff wametuma ofa ya paundi milioni 11.6 ambazo ni zaidi ya shilingi bilioni 34.3 za Kitanzania kwa klabu ya KRC Genk ili kumpata mchezaji huo, lakini dau lao hilo limekataliwa na klabu ya Samatta.
Samatta ameshafunga jumla ya magoli 24 msimu hii akicheza michezo 31.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |