Uzalishaji huo ulishaka baada ya kupatika mawe yenye dhahabu kidogo ndani yake.
Taarifa iliyotolewa jana na kampuni ya uchimbaji madini Acacia ya robo ya nne kwa mwaka 2018
Imeonyesha mabadiliko ya kupanda na kushuka kwa uzalishaji wa dhahabu katika migodi yake mitatu
Afisa mtendaji mkuu wa kampuni ya Acacia Peter Geleta amesema katika kipindi cha miezi 12 iliyopita kampuni hiyto imengiza mapato ya dola milioni 88 za marekani sawa na sh bilioni 19 ya Tanzania.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |