Licha ya kufungwa goli 1-0 katika dakika ya 30 ya mchezo, Real Madrid inakwenda robo fainali kwa ushindi wa jumla ya magoli 3-1 kufuatia kuichapa Leganes 3-0 kwenye mchezo wa kwanza wiki iliyopita mjini Madrid.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |