katika rekodi, Novak anakuwa mchezaji wa kwanza wa kiume kuchukua ubingwa wa michuano hiyo mara 7 akiwazidi Roy Emerson na Roger Federer.
Novak kwa sasa ndiye mchezaji wa tenesi namba 1 duniani kwa ubora kwa upande wa wanaume, na ushindi huo unamfanya kufikisha mataji 15 katika maisha yake ya mchezo huo.
kwa upande wa wanawake, nyota mpya wa tenisi duniani Naomi Osaka raia wa Japan ametwaa taji la michuano hiyo baada ya kumchapa Petra Kvitova wa Jamhuri ya Czech.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |