katika kundi A kuna timu za Tanzania, ANgola, Nigeria na Uganda, huku kundi B lina timu za Camerron, Senegal na Guinea. tanzania inawakilishwa na Serengeti Boys.
Wakati huo huo Baraza la wadhamini wa shirikisho la soka nchini Tanzania (TFF) limesema maswala ya michezo kupelekwa mahakamani kutasababisha Tanzania kufutiwa uenyeji wa mashindano hayo ya AFCON U17.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |