Vijana wa kocha Paul Murunga wametua nchini Australia kutoka nchini New Zealand walikoshiriki na kumaliza duru ya Hamilton Sevens katika nafasi ya 10 kwa alama saba.
Shujaa watacheza mechi ya kwanza februari 2 dhidi Canada kisha watavaana na Marekani kumaliza na Ufaransa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |