wabunge walikuwa wanachangia mjadala juu ya ripoti za kamati ya Bunge juu ya Bajeti na Uwekezaji wa Umma, ambayo yaliwasilishwa.
Baadhi ya masuala yaliyotolewa na wabunge ni pamoja na sera isiyo ya kutabirika, mfumo wa kodi isiyofaa na utawala mbaya.
Mbuge wa Iringa Peter Msigwa (Chadema) amesema ni wakati mzuri serikali kuweka mazingira mazuri ya kuvutia wawekezaji wa kigeni.
Wabunge wa Tanzania wamesema ikiwa wanataka kuimarisha uchumi wa nchi yao, basi wanahitaji kuhimiza demokrasia ili kuvutia wawekezaji.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |