waziri wa fedha Henry Rotich ameomba wakulima kuwa na subira mpaka mageuzi yanayoendelea yamekamilika.
Amesema wakulima wa mahindi, watanunua mbolea chini ya mpango wa ruzuku ya serikali kupitia vyama vyao viliosajiliwa katika harakati za kumaliza wafanyibiashara wasio halali.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |