Hii ni kufuatia agizo la Rais la kutoa noti mpya mwezi Januari.
Kulingana na Gavana wa Benki Kuu ya Rwanda,John Rwangombwa,noti hizo mpya zitaigharimu serikali ya Rwf1.6 bilioni kila mwaka kwa muda wa miaka mitatu ijayo na kufanya jumla ya gharama zote kuwa Rwf5 bilioni.
Kampuni ya Ujerumani ya G+D ndio iliyopewa dhamana ya kuchapisha noti hizo mpya.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |