Katika mchezo wa kwanza uliofanyika wiki iliyopita jijini Alexandria Misri, Al Ahly iliifunga Simba goli 5-0.
Kuelekea mchezo huo, Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa Simba SC ambaye pia ni muwekezaji wa klabu hiyo Mohammed Dewji amewataka watanzania na wana Simba waiunge mkono timu yao kwani, wanatakiwa kufahamu kuwa Simba imekutana na timu zenye nguvu zaidi yao lakini hiyo haiwakatishi tamaa ya kusema kuwa timu yao haiwezi kufanya chochote katika michuano hiyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |