Fainali za michuano ya mataifa ya Afrika kwa vijana chini ya umri wa miaka 20 imefikia tamati nchini Niger kwa timu ya taifa ya Mali ya vijana wenye umri chini ya miaka 20 kutwaa ubingwa wa mashindano hayo baada ya kuichabanga timu ngumu ya taifa ya Senegal katika mchezo wa fainali.
Mashindano hayo yamefanyika nchini Niger na kuhudhuriwa na timu kadhaa toka barani Afrika. Afrika kusini imekamata nafasi ya tatu baada ya kuifunga Nigeria.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |