• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) yatoa msaada wa $985mn kufadhili mkakati wa maendeleo wa EAC

    (GMT+08:00) 2019-02-21 19:39:42

    Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) imeahidi kusaidia mkakati wa Maendeleo wa Jumuiya ya Afrika (EAC) ,ambao unahitaji $985 milioni katika kipindi cha miaka mitano.

    Haya yaliafikiwa siku mbili zilizopita wakati Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Balozi Liberat Mfumukeko alikutana Rais wa Benki ya AfDB ,Dk Akinwumi A.Adesina katika makao makuu ya Benki hiyo jijini Abidjan Ivory Coast.

    Mfumukeko aliomba msaada katika maeneo ya kilimo na viwanda,haswa viwanda vya kilimo.

    Wakati wa mkutano huo Adesina alisema ni muhimu kuunganisha miradi ya miundombinu na maendeleo ya kilimo na viwanda kwa manufaa ya kuwa na uraia mmoja katika Jumuiya ya Afrika Mashariki.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako