Mjumbe maalumu wa rais wa China Bw. Liu He na mjumbe wa biashara wa Marekani Bw. Robert Lighthizer, pamoja na waziri wa fedha Bw. Steven Mnuchin wameongoza ufunguzi wa duru ya saba ya mazungumzo ya ngazi ya juu ya uchumi na biashara kati ya China na Marekani katika ikulu ya Marekani huko Washington. Mazungumzo hayo yanafanyika kwa siku mbili na timu za pande mbili zilianza majadiliano mwanzoni mwa wiki hii.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |