Minara hiyo ambayo imeandaliwa na hospitali ya Mediheal itazinduliwa katika makutano ya barabara ya Nairobi-Kapsabet na Kaptagat.
Kemboi ameibuka mshindi wa Olimpiki katika mbio za mita 3,000 kuruka maji na viunzi mara mbili na kutawazwa mfalme wa dunia mara nne.
Kwa upande wake, Cheruiyot alinyanyua nishani ya dhahabu katika mbio za mita 5,000 kwenye Olimpiki za Rio mnamo 2016.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |