Mchezo huo haukuwa rahisi kama wengi walivyofikiri na hatimae kulazimika kwenda dakika 120 ila mambo yalikuwa magumu kwa pande zote mbili, ndipo mikwaju ya penati ilipoamua timu gani iwe bingwa, Chelsea licha ya kuwa imara na kudhibiti mashambulizi ya Man City lakini walijikuta wakipoteza kwa penati 4-3.
Hii ndio mara ya kwanza kwa mchezo wa fainali ya EFL Cup kuchezwa dakika 120 pasipo kupatikana Bingwa toka mwaka 2016.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |