Ufadhili huo wa dola milioni 985 unafuatia makubaliano baada ya mkutano kati ya katibu mkuu wa EAC Liberat Mfumukeko na rais wa benki hiyo Akinwumi A. Adesina mjini Abidjan, Ivory Coast.
Mfumukeko alikuwa ameomba fedha kusaidia sekta za kilimo na viwanda. Awali mkutano wa marais wa EAC uliofanyika mjini Arusha uliidhinisha miradi 286 ya miundo mbinu inakayogharimu dola bilioni 78 ndani ya miaka 10 ijayo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |