Awali wizara ya afya nchini humo ilikuwa imeonya kuwa kuna uwezekani wa kuwepo na hatari za kiafya katika utumiaji wa bidhaa hizo.
Wizara ya afya kwenye taarifa ya ijumaa imesema kuanzia tarehe 31 Machi viwanda vyote vinatakiwa kuacha kuzalisha pombe iliopakiwa kwenye mifuko ya plastiki.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |