Mamlaka imesema ongezeko hilo la ada litsaidia kukuza sekta ua mawasiliano nchini humo.
Mkurungezi wa sekta hiyo Ladu Wani Kenyi,amesema ada mpya zitaanza kutekelezwa Machi 7.
Alisema ada ya kupiga simu kwenda nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki itaongezeka kutoka dola 0.5 hadi 0.10.
Kuna kampuni mbili tu za kutoa huduma za simu chini Sudan Kusini MTn kutoka Afrika Kusini na Zain ya Kuwait.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |