Timu ya mwanasoka huyo itaanza kushiriki ligi ya Marekani msimu huu wa 2019/20. Wakati hayo yakiendelea, uwanja unaomilikiwa na timu ya Beckham unatarajiwa kukamilika mwaka 2022 lakini hata hivyo, bado eneo la ujenzi wa uwanja huo halijafahamika kufuatia eneo la awali kukumbwa na mgogoto wa kisheria.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |