simu hiyo mpya itauzwa kwa franc 19,000.
Mkurungezi wa mauzo kwenye kampuni hiyo Richard Acheampong, amesema simu hiyo itapatikana kwenye maduka yote ya MTN kwanza na baadaye kwenye maduka mbalimbali ya simu kote nchini humo.
Amesema simu hiyo ya bei nafuu inawezesha wateja kupayta huduma zote za intaneti na kutumia mitandao ya kijamii kama vile Whatsapp, Facebook, Youtube na Twitter.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |