Mshambuliaji Mbelgiji Eden Hazard wa Chelsea ainusuru timu yake kupigwa nyumbani na Wolves baada ya kuifungia Chelsea bao la kusawazisha dakika ya 90 kufuatia Raul Jimenez kuanza kuifungia Wolves dakika ya 56 na kufanya matokeo kuwa sare ya 1-1.
Arsenal imeibamiza Manchester United goli 2-0 uwanja wa Emirates mjini London na kumaliza rekodi ya kocha mpya Ole Gunnar Solskjaer kutofungwa kwenye ligi hiyo tangu achukue mikoba ya Jose Mourinho.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |