Nao Wekundu wa Msimbazi wameshindwa kuendeleza wimbi la ushindi kwa kukubali kichapo cha magoli 2-0 toka kwa JS Saoura ya Algeria. Saoura sasa wanaongoza kundi hilo na kufuatiwa na Al Ahly, AS Vita yenyewe inashika nafasi ya tatu huku Simba ya Tanzania ikikamata mkia.
Michuano hiyo itafikia tamati Jumamosi ijayo kwa Simba ya Tanzania itaikaribisha AS Vita ya DRC huku Al Alhy ikiikaribisha JS Saoura. Samba itahitaji ushundi ili iweze kufuzua hatua ya robo fainali.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |