Super solico FC iljipatia ushindi huo ilipotandika wenzao wa Isiolo Young Stars mabao 4-3 kupitia mikwaju ya penalti baada ya kutoka sare ya bao 1-1 katika muda wa kawaida.
Nao wasichana wa St Marys Ndovea walibeba umalkia huo walipoandikisha ufanisi wa mabao 2-1 mbele ya Chuka Starlets.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |