Wachezaji sita kati ya saba wapya walionunuliwa na KCB mwisho wa msimu 2018 kutoka mabingwa wa zamani wa Afrika na Kenya, Kenya Pipeline, wamo kikosini. Kenya inajivunia kushinda mataji mengi ya Afrika katika klabu za wanawake. Imeshinda mataji 14.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |